YO
Yeah, baba
Ma Feeling Make It
[Verse 1]
Najiona wa ajabu, eh
Nikijitazama
Hivi naota, ah
Ama nachanganyikiwa?
Joto nalo la shuka digiri
Waliniliza TBT
Na moyo wangu nishakupa na
Maana najiona” Nachanganyikiwa ooh nyikiwa”
“Ndaama nanonaa” Nanyonyeshwa Maziwa ooh maziwa”
Instrumental Playing
VERSE: 2
Ahh kama mapenzi ni jihadi tuko peponi
Kwa jinsi tulivvopambana na hali yetu rohoni
Kuna vijiba vya nafsi wale wa roho
Wa roho
Wanaosubiri tuachane hata kesho
Sisi bado, Sisi bado
Oooh
Sisi bado, kuachana sisi bado
Sisi bado oooooooh, oh sisi bado ooh
BRIDGE
Kwani,
Na wewe ndio nahodha wa meli yangu
Huhitaji CV OOOH
atukinge yahilahi tuwe Salama aah
Atuepushe na mabaya ya wengine.
CHORUS
“Maana najiona” Nachanganyikiwa ooh nyikiwa”
“Ndaama nanonaa” Nanyonyeshwa Maziwa ooh maziwa”

Comments
Post a Comment