Alikiba - Naodha lyrics














YO

Yeah, baba
Ma Feeling Make It

[Verse 1]
Najiona wa ajabu, eh
Nikijitazama
Hivi naota, ah
Ama nachanganyikiwa?
Joto nalo la shuka digiri
Waliniliza TBT
Na moyo wangu nishakupa na



CHOROUS

Maana najiona” Nachanganyikiwa ooh nyikiwa”

“Ndaama nanonaa” Nanyonyeshwa Maziwa ooh maziwa”

Instrumental Playing

VERSE: 2

Ahh kama mapenzi ni jihadi tuko peponi

Kwa jinsi tulivvopambana na hali yetu rohoni

Kuna vijiba vya nafsi wale wa roho

Wa roho

Wanaosubiri tuachane hata kesho

Sisi bado, Sisi bado

Oooh

Sisi bado, kuachana sisi bado

Sisi bado oooooooh, oh sisi bado ooh

BRIDGE

Kwani,

Na wewe ndio nahodha wa meli yangu

Huhitaji CV OOOH

atukinge yahilahi tuwe Salama aah

Atuepushe na mabaya ya wengine.

CHORUS

“Maana najiona” Nachanganyikiwa ooh nyikiwa”

“Ndaama nanonaa” Nanyonyeshwa Maziwa ooh maziwa”

Comments