“Barua ya wazi kwa Neema wa
Mitego kwanza pole kwa Malezi ya Watoto ambao mama zao wamekukimbia, hakuna
Mwanamke ambae anaweza kuishi na mwanaume mwenye tabia za kike ka
ma zako inatakiwa
ujiulize una tatizo gani maana km umaarufu mavi unao,nyumba unayo,magari unayo
na hivyo ndo vitu dada zetu wanapenda lakini kwanini wanakukimbia pili kila
nikiwaangalia watoto naona kabisa hamjafanana kuna umuhimu wa DNA Da Neema
trust me. Hiyo video nimekuwekea hapo juu ni kukuonyesha kuwa mimi na wewe Ligi
zetu hazifanani vitu navyokula
mimi wewe utaishia kuviona kwenye TV maana kuvipata mpaka uwe Unapanda sana
Ndege sasa mimi najaza passport ya Tatu wakati wewe hata kurasa 4 za passport
yako ya kwanza hujamaliza Sasa wewe
ushazoea wanawake zako wa jumuiya basi unataka kila mtu apost demu wake haya
sasa Chuma hiko kimetoka ulaya kuja kufuata dodoki nimekujibu ili
nikusaidie promo ya nyimbo yako Atleast upige na Vishoo baba Sema nakuomba
usirushe ngumi tu maana nakujua Mzee wa Kupanic Maana katika hao mabebi mama
wako kuna mmoja nilishapitaga nae Uliza vizuri atakwambia kama jogoo anawika au
vipi
0 comments:
Post a Comment